Tag: kiswahili lugha pdf
FORM 1-4 KISWAHILI LUGHA NOTES FREE PDF
MATUMIZI YA LUGHA
Kiimbo
Jinsi sauti inavyopanda na kushuka mtu anapoongea.
Huibua maana halisi ya maneno yanayosemwa kama ifuatavyo:
Sentensi za taarifa
Mtoto anaandika barua.
...